
Mara baada ya
kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 ambayo Dkt. John
Pombe Magufuli alitangazwa kuwa mshindi kwa 84%, Rais ameendelea kuunda safu ya
Serikali yake kwa mujibu wa Katiba.
Leo amefanya Uteuzi wa
Mawaziri 21 na Manaibu Waziri 23 na Wabunge wawili ambao amewapangia majukumu
ya kuwa Mawaziri. Pia, Rais Magufuli ameunda Wizara mpya ambayo haikuwepo
awali, Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.
Waziri wa Ulinzi na
Jeshi la Kujenga Taifa, Elias John Kwandika
Waziri Ofisi ya Rais
Utumishi na Utawala Bora, Kapteni Mstaafu George Mkuchika.
Waziri wa Ardhi na
Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi.
Waziri wa Maji, Juma
Aweeso
Waziri Ofisi ya Waziri
Mkuu, Bunge, Vijana na Ulemavu, Jenista Mhagama
Waziri wa Afya, Jinsia
Wazee na Watoto, Gwajima Dorothy
Waziri Ofisi ya Rais,
Uwekezaji Profesa Kitila Mkumbo
Waziri wa Katiba na
Sheria, Dkt. Mwigulu Nchemba
Waziri wa Elimu, Prof.
Joyce Ndalichako
Waziri wa Mifugo na
Uvuvi, Mashimba Mashauri Ndaki
Waziri wa Kilimo,
Profesa Adolf Mkenda
Waziri wa Maliasili na
Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro
Waziri wa wa Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo Innocent Bashungwa
Waziri wa TAMISEMI,
Selemani Jaffo
Waziri wa Nishati,
Dkt. Medard Kalemani
Waziri wa Ujenzi na
Uchukuzi, Mhandisi Leonard Chamuliro
Waziri wa Madini,
Dotto Biteko
Waziri wa Viwanda na
Biashara, Mwambe Godfrey Idelphonce
Waziri wa Mambo ya
Ndani, George Simbachawene
Waziri wa Mazingira na
Muungano, Ummy Mwalimu
Waziri wa Mawasiliano
na Teknolojia ya Habari, Faustine Ndugulile.
Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba John Kabudi.
Waziri wa Fedha na
Mipango, Dkt Philip Mpango
Naibu mawaziri
Wizara ya Viwanda na Biashara- Kigae Silaoneka
Wizara wa Ardhi- Angelina Mabula
Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana na Ajira- Patrobas Katambi
Wizara ya Mambo ya Ndani- Hamis Hamza Hamisi
Wizara ya Fedha- Mwanaida Ali Khamis
Wizara ya Elimu- Kipanga Juma Omar
Tamisemi- Dk Festo Ndugange
Wizara ya Nishati- Stephen Byabato
Menejimenti Utumishi wa Umma- John Ndejembi
Mawasiliano na Teknolojia ya Habari- Kundo Mathew
Wizara ya Mifugo- Pauline Gekul
Wizara ya Madini- Ndulane Kumba
Wizara ya Ujenzi- Godfrey Kasekenya
Ofisi ya Waziri Mkuu wenye ulemavu- Ummy Ndelinanga
Wizara ya Maji- Maryprisca Mahundi
Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo- Abdallah Ulega
Ofisi ya Makamu wa Rais (muungano na mazingira)- Mwita Waitara
Wizara ya Mambo ya Nje- William Olenasha
Wizara ya Maliasili na Utalii- Mary Masanja
Ofisi ya rais Tamisemi- David Silinde
Wizara ya Kilimo- Hussein Bashe
Wizara ya Afya- Dk Godwin Mollel
Wizara ya Katiba na Sheria- Pinda Mizengo
Endelea kufuatilia
Serengeti Post kwa taarifa mbalimbali
Leave a comment